Bwana yesu asifiwe, namshukuru sana Mungu kwa matendo yake siku hadi siku, na kwa kuwapa uzima had kuifikia siku ya leo tena.
Ni wakati mwingine katika mwendelezo wa masomo yangu, kama linavyosomeka hapo juu. umepewa neema ili upate kutubu.
Wengi hatutambui umuhimu wa neema tulionayo maishani mwetu, kwanza tuanzae kwa kuangalia nini maana ya toba.
Toba ni badiliko la nia akilini, ambayo matokeo yake yamo katika matendo yaliobadilika kwenye kamusi anasema{ majuto kutokana na maovu uliofanya}. Watu wengi wanafananisha msamaha na toba, ingawa vinauhusiano kwa karibu sana. Msamaha ni tendo la kuomba radhi kwa kosa...... sasa kwa mfano mtu akitaka kuokoka anaongozwa sala ya toba....maana yake ukishaongozwa sala ya toba alafu hakuna badiliko katika maisha yako, hiyo siyo toba ya kweli....
Matendo 26:20" bali kwanza niliwahubiri wale wa dameski na yerusalemu na katika nci yote ya uyahudi, na watu wa mataifa kwamba watubu na kumwelekea Mungu, wakitenda matendo yanayopatana na kutubu kwao"
Tuangalie Luka 3:8" basi toenii matunda yapasayo toba" matunda yapasayo toba maana yake kubadilika. tumeona hapo juu kuwa toba ni badiliko kwaiyo nia ya somo hili ni kwamba wengi wetu ni wakristo, tulishaongozwa sala ya toba ila sasa bado hatuzai matunda yapasayo toba kama luka inavyosema. sasa Mungu ametupa neema ya kuishi, tuliona katika somo la UNAITUMIAJE NEEMA ULIONAYO, ila hatujajua kama hiyo neema tuliopewa ni ili tutubu au tuishi matunda yapasayo toba.
Warumi 2:4-5" au waidharau wingi wa wema wake na ustahimili wake na uvumilivu wake, usijue wema wa Mungu wakuvuta ili uape kutubu" kwaiyo tunazidi kuona kwamba Mungu anatuvumilia au neema yake bado ipo kwetu ili tuweze kutubu. maana kama nilivyosema katika somo lililopita kwamba , maisha tulionayo tumeazimwa tu, sasa itafika saa Mungu atadai chake. je utakua tayari kumrudishia?
2Petro 3:9" Bwana akawii kutimiza ahadi yake kama wengine wanavyokudhani kukawia, bali huvumilia kwenu, maana hapendi mtu ye yote apotee wote waifikilie toba" bado maandiko yako wazi kuwa Mungu kamwe apendi mtu apotee na ndio maana bado neema ipo ili wote sasa tuiifikie ile toba, wapo wanaojisifu juu ya neema walionayo! wewe Bwana acha kabisa........
Wapendwa kuna watu wanaweza kuisi kua ujumbe huu unawahusu ambao wajaokoka! Hapana, maisha tunatoishi hayana tofauti na ambao bado hawajampokea yesu, sasa si hata wao wenyewe si watabaki wanakushangaa tu? maana Biblia inasema utawatambua kwa matendo yao......sasa mpendwa matendo yako hayatokani na kutubu kwako, kwaiyo bila shaka hili somo linakuhusu asilimia mia kabisa.
Ni maombi yangu ifikie kipindi sasa tubadilike na nimekua nikisisitiza sana kwenye masomo yangu maana mda tulio nao ni mchache mno!!!!!! Amani ya Bwana iwe nanyi nyote.....Amina
Wengi hatutambui umuhimu wa neema tulionayo maishani mwetu, kwanza tuanzae kwa kuangalia nini maana ya toba.
Toba ni badiliko la nia akilini, ambayo matokeo yake yamo katika matendo yaliobadilika kwenye kamusi anasema{ majuto kutokana na maovu uliofanya}. Watu wengi wanafananisha msamaha na toba, ingawa vinauhusiano kwa karibu sana. Msamaha ni tendo la kuomba radhi kwa kosa...... sasa kwa mfano mtu akitaka kuokoka anaongozwa sala ya toba....maana yake ukishaongozwa sala ya toba alafu hakuna badiliko katika maisha yako, hiyo siyo toba ya kweli....
Matendo 26:20" bali kwanza niliwahubiri wale wa dameski na yerusalemu na katika nci yote ya uyahudi, na watu wa mataifa kwamba watubu na kumwelekea Mungu, wakitenda matendo yanayopatana na kutubu kwao"
Tuangalie Luka 3:8" basi toenii matunda yapasayo toba" matunda yapasayo toba maana yake kubadilika. tumeona hapo juu kuwa toba ni badiliko kwaiyo nia ya somo hili ni kwamba wengi wetu ni wakristo, tulishaongozwa sala ya toba ila sasa bado hatuzai matunda yapasayo toba kama luka inavyosema. sasa Mungu ametupa neema ya kuishi, tuliona katika somo la UNAITUMIAJE NEEMA ULIONAYO, ila hatujajua kama hiyo neema tuliopewa ni ili tutubu au tuishi matunda yapasayo toba.
Warumi 2:4-5" au waidharau wingi wa wema wake na ustahimili wake na uvumilivu wake, usijue wema wa Mungu wakuvuta ili uape kutubu" kwaiyo tunazidi kuona kwamba Mungu anatuvumilia au neema yake bado ipo kwetu ili tuweze kutubu. maana kama nilivyosema katika somo lililopita kwamba , maisha tulionayo tumeazimwa tu, sasa itafika saa Mungu atadai chake. je utakua tayari kumrudishia?
2Petro 3:9" Bwana akawii kutimiza ahadi yake kama wengine wanavyokudhani kukawia, bali huvumilia kwenu, maana hapendi mtu ye yote apotee wote waifikilie toba" bado maandiko yako wazi kuwa Mungu kamwe apendi mtu apotee na ndio maana bado neema ipo ili wote sasa tuiifikie ile toba, wapo wanaojisifu juu ya neema walionayo! wewe Bwana acha kabisa........
Wapendwa kuna watu wanaweza kuisi kua ujumbe huu unawahusu ambao wajaokoka! Hapana, maisha tunatoishi hayana tofauti na ambao bado hawajampokea yesu, sasa si hata wao wenyewe si watabaki wanakushangaa tu? maana Biblia inasema utawatambua kwa matendo yao......sasa mpendwa matendo yako hayatokani na kutubu kwako, kwaiyo bila shaka hili somo linakuhusu asilimia mia kabisa.
Ni maombi yangu ifikie kipindi sasa tubadilike na nimekua nikisisitiza sana kwenye masomo yangu maana mda tulio nao ni mchache mno!!!!!! Amani ya Bwana iwe nanyi nyote.....Amina
No comments:
Post a Comment