Bwana yesu asifiwe wapendwa, natumai hamjambo na mu wazima wa afya.......Dhumuni la somo hili ni kujua ni kwa sababu gani tuna shindwa kuishi maisha matakatifu.
Kwanza kabisa namshukuru mungu kwa kunipa mafunuo juu ya somo hili, kwa sababu imekua kazi kwa sisi vijana kuishi maisha yanayompendeza mungu. sisemi kwamba mimi naishi maisha matakatifu kwa asilimia mia...hapana!!!! wote tunajitaidi katika fuufikia ukamilifu aliousema bwana yesu kuwa na tuwe wakamilifu kama yeye(MUNGU) alivyo mkamilifu math 5:48......ila wapo ambao ni wakristo lakini imekua historia kwa wao kuishi maisha ya utakatifu yaan kwa maana nyingine ni wakristo jina tu.
Kwanza kabisa namshukuru mungu kwa kunipa mafunuo juu ya somo hili, kwa sababu imekua kazi kwa sisi vijana kuishi maisha yanayompendeza mungu. sisemi kwamba mimi naishi maisha matakatifu kwa asilimia mia...hapana!!!! wote tunajitaidi katika fuufikia ukamilifu aliousema bwana yesu kuwa na tuwe wakamilifu kama yeye(MUNGU) alivyo mkamilifu math 5:48......ila wapo ambao ni wakristo lakini imekua historia kwa wao kuishi maisha ya utakatifu yaan kwa maana nyingine ni wakristo jina tu.
UTANGULIZI.
Kwanza kama kijana tambua yafuatayo ili uweze kushinda;
1. KIJANA NI MWENYE NGUVU(kimwili na kiroho)
mithali 20:29 '' fhari ya vijana ni nguvu zao''. 1 yoh 1:14b ''nimewaandikia vijana kwa sababu mna nguvu....'' Kwaiyo hapa tunaona dhairi ya kuwa vijana ni wenye nguvu hata biblia imethibitisha hilo...sasa shetani anajua hilo pia kwaiyo hana mda wakuangaika na wababa au wamama wakati vijana ambao ndio taifa la kesho mpo. anajua thamani uliyonayo kwa ajili ya kanisa na taifa lako na ndo maana anakutafuta usiku na mchana.
2. UJANA NDIO MSINGI WA MAISHA(wakati muhimu)
kipindi cha ujana ndio wakati sahihi wa wewe kufanya maamiuzi(future plans) za maisha. muhubiri 12:1'' mkumbuke muumba wako siku za ujana...kabla hazijaja zile mbaya'' maombolezo 3:27'' ni vyema mwanadamu achukue nira wakati wa ujana''. kwaiyo, bado tunaona shetani anatambua hilo pi na ndo maana anataka akuvuruge kipindi hiki ili usiwe na future nzuri. yohana 21:18'' wakati wa ujana ulikua ukijifunga mwenyewe na kwenda utakako lakini utakapo kua mzee utainyosha mikono yako na mwingine atakufunga na kukupeleka usikotaka''
Kwanza kama kijana tambua yafuatayo ili uweze kushinda;
1. KIJANA NI MWENYE NGUVU(kimwili na kiroho)
mithali 20:29 '' fhari ya vijana ni nguvu zao''. 1 yoh 1:14b ''nimewaandikia vijana kwa sababu mna nguvu....'' Kwaiyo hapa tunaona dhairi ya kuwa vijana ni wenye nguvu hata biblia imethibitisha hilo...sasa shetani anajua hilo pia kwaiyo hana mda wakuangaika na wababa au wamama wakati vijana ambao ndio taifa la kesho mpo. anajua thamani uliyonayo kwa ajili ya kanisa na taifa lako na ndo maana anakutafuta usiku na mchana.
2. UJANA NDIO MSINGI WA MAISHA(wakati muhimu)
kipindi cha ujana ndio wakati sahihi wa wewe kufanya maamiuzi(future plans) za maisha. muhubiri 12:1'' mkumbuke muumba wako siku za ujana...kabla hazijaja zile mbaya'' maombolezo 3:27'' ni vyema mwanadamu achukue nira wakati wa ujana''. kwaiyo, bado tunaona shetani anatambua hilo pi na ndo maana anataka akuvuruge kipindi hiki ili usiwe na future nzuri. yohana 21:18'' wakati wa ujana ulikua ukijifunga mwenyewe na kwenda utakako lakini utakapo kua mzee utainyosha mikono yako na mwingine atakufunga na kukupeleka usikotaka''
sasa tuangalie kwanini tunashindwa kuishi maisha matakatifu.....
1. KUISHI KTK MWILI... warumi 8:13-14''mkiishi kwa kuyafuata mambo ya mwili mwataka kufa bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa roho, mtaishi.....wengi tunashinda kwasababu tunaishi mwilini, atuwezi kushinda bila roho mtakatifu kukaa ndani..
1tim 2:22, math 26:41b''roho i radhi ila mwili udhaifu'' kwaiyo roho inawezekana inataka ila mwili wako bado ni kikwazo..kumbuka paulo alisema nilipendalo silifanyi ila nisilolipenda nalifanya. gal 6:8, efe 4:22-24'' inatuambia mvaeni roho mtakatifu......kwaiyo bila shaka tukimvaa roho sidhani kama habari itakua ni ya kushindwa tu....na hili ndo tatizo kuu kishi mwilini.
2. KUJICHANGANYA
1yoh 2:15,17 tatizo lingine la sisi vijana ni kuipenda dunia.....mstari huu unasema'' msiipende dunia na mambo yaliyomo ndani yake'' sasa unatakaje kuishi maisha matakatifu wakati hutaki kuachana na dunia? ukisha okoka umekua adui wa dunia soma 1yoh 3:13'' msistaajabu ulimwengu ukiwachukia''.
3.MARAFIKI/ MAHUSIANO
sababu nyingine ni marafiki tunaochagua. mara nyingi nasema na imeshawai kunitokea, uchaguzi wa marafiki au mahusiano ulio nayo wanachangia sana katika ushawihi. uwezi ukasimama wakati unaambatana na wasio amini. 2wakorinto 6:14'' usifungwe nira pamoja na wasio amini''. mithali 13:20, 1korinto 15:33, 15:11..........
1. KUISHI KTK MWILI... warumi 8:13-14''mkiishi kwa kuyafuata mambo ya mwili mwataka kufa bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa roho, mtaishi.....wengi tunashinda kwasababu tunaishi mwilini, atuwezi kushinda bila roho mtakatifu kukaa ndani..
1tim 2:22, math 26:41b''roho i radhi ila mwili udhaifu'' kwaiyo roho inawezekana inataka ila mwili wako bado ni kikwazo..kumbuka paulo alisema nilipendalo silifanyi ila nisilolipenda nalifanya. gal 6:8, efe 4:22-24'' inatuambia mvaeni roho mtakatifu......kwaiyo bila shaka tukimvaa roho sidhani kama habari itakua ni ya kushindwa tu....na hili ndo tatizo kuu kishi mwilini.
2. KUJICHANGANYA
1yoh 2:15,17 tatizo lingine la sisi vijana ni kuipenda dunia.....mstari huu unasema'' msiipende dunia na mambo yaliyomo ndani yake'' sasa unatakaje kuishi maisha matakatifu wakati hutaki kuachana na dunia? ukisha okoka umekua adui wa dunia soma 1yoh 3:13'' msistaajabu ulimwengu ukiwachukia''.
3.MARAFIKI/ MAHUSIANO
sababu nyingine ni marafiki tunaochagua. mara nyingi nasema na imeshawai kunitokea, uchaguzi wa marafiki au mahusiano ulio nayo wanachangia sana katika ushawihi. uwezi ukasimama wakati unaambatana na wasio amini. 2wakorinto 6:14'' usifungwe nira pamoja na wasio amini''. mithali 13:20, 1korinto 15:33, 15:11..........
MBARIKIWE WOTE KWA KUSOMA..........surely something will change after reading this......shalom!!!!!
for more information 0715918940
for more information 0715918940
No comments:
Post a Comment