Shaloom.....natumai mu wazima wa afya. it has been a long time since i last posted my last somo. leo katika mtiririko wangu wa kufundisha, ntaongelea mahusiano. inawezekana una mchumba, either your expecting kuoa au kuolewa au pia kwa wale ambao wako katika ndoa tayari, haya mambo yanaweza kuwa msaada kwako katika kudumisha mahusiano yenu.
1 JENGA UAMINIFU/ KUAMINIANA
Hapa kumekuwa na tatizo sana kwa watu wengi. unaweza ukawa mwaminifu kabisa lakini angalia mambo unayofanya yasije yakaweka mashaka kwa mwenzi wako. mfano simu zimekuwa ni chanzo cha kuondoa uaminifu ktk mahusiano. unakuta hutaki mwenzio aguse kabisa simu yako na pengine ukipigiwa unaenda kupokelea nje au unakata ili uongee badae... labda ni marafiki zako lakini kwa jinsi unavyo jishuku, inaondoa uaminifu kwa mwenzio. na kutokuwa na uaminifu hata ukienda kazini ukachelewa kwa sababu zisizozuilika, mwenzako atajua ulikua nyumba ndogo.
2 SAMEHE HARAKA NA KWELI (ACHILIA)
Hapa unakuta kitu kidogo tu kinazua mbonge la mtafaruku wakati mngesameheana kingeisha mapema. huwa kuna msemo napenda kuutumia na huwa unanisaidiaga, unasema"GIVE UP IF POSSIBLE TO AVOID QUARRELS" tambua quarrels za kila siku zinasababisha mahusiano kuvunjika maana mtachokana haraka.
hii sio rahisi kwa wengi lakini ni vyema ukubali yaishe hata kama mwenzio ndio mgomvi.
3 KUBALI UDHAIFU WAKO/ MAPUNGUFU
it is very obvious that men always hawatakagi kuwa inferior wala kushindwa, ni rahisi kwa mwenzio kukusaidia pale anapotambua udhaifu au mapungufu ulionayo. if u wont admit ur weakness, u will live a hypocrite life ambapo itafika sehemu utashindwa then itapelekea mahusiano kuvunjika.
4 ONYESHA UPENDO WA KWELI
Kama kuna kitu kinatakiwa kiwepo katika mahusiano yoyote basi ni upendo wa kweli. kutokua na upendo wa kweli kunaweza kupelekea mwenzako akahisi kwamba una michepuko, lazima kuonesha upendo wa dhati unless otherwise una mtu mwingine lakini kama yuko peke yake basi huna budi kumwonesha that u real love and care.
5 PEANENI MDA
sio kila saa kila siku ni kuonana mtindo moja,Hapa namaanisha sio kila saa mnataka muwe wote tu.hii inapunguza hali ya kummiss wenzi wako na ndio maana unaweza ukaona kama hakupendi kumbe sababu mpo wote kila mara na hii inapelekea mazoea kwaiyo hamu ya kukumiss inapotea taratibu na badae kuona kawaida.
6 ONGEENI MAMBO YA MSINGI NA KIMAENDELEO
kuna rerationship zingine wanawaza mapenzi tu, wao wakikutana stori ndio hizo...that relationship will neva work coz mnachowaza will neva develop your relatinship....talk about findind a solution to problems, how to overcome obstacles in your relationship let start a business na mengine mengi!
7 KUTOKUELEWANA NI KAWAIDA
Kuna wanaodhani kuwa kila siku ni halelluyah.....hapana mataizo yanakuwepo kwaiyo ni vyema ukajua na kujiandaa lasivyo utasema "werent meant to be together" na utaishia kubadili wapenzi. know that every one has his/her own attitude so make sure you know how to deal with it.
8 HESHIMA/KUHESHIMIANA/KUJIHESHIMU
mnatakiwa kueshimiana......mwanaume usijiwekee kwamba wewe ndo unatakiwa kueshimiwa tu...HAPANA! unatakiwa kumheshimu mwenzako, sikiliza mawazo yake, heshimu maamuzi yake hivyohivyo kwa wanawake. thats how your relationship will become strong.unatakiwa pia utambue kuwa ur in a relationship so respect ur self, angalieni mavazi yenu, yawe ya heshima, usafi wako binafsi.
9 MAWASILIANO
hii pia ni jambo muhimu sana. mfano unakuta mtu anafanya mambo yake bila kumjulisha mwenzake, anaondoka au yupo mahali taarifa hatoi!!!! sasa kwanini usionekane kuwa tatizo katika mahusiano?
10 KUFURAHI PAMOJA
Wengi hawajui, tendo hili linaimarisha sana mahusiano. kuna muda unatakiwa mtoke outing pamoja, mle pamoja mfurahi pamoja. (hii ni kwa wanandoa sana sana ila walio katika mahusiano wawe waangalifu wasije anguka katika dhambi)
Mungu awabariki, ni hayo machache niliyo nayo. ihope u will learn something!
STAY INSPIRED!!!!
STAY INSPIRED!!!!
No comments:
Post a Comment