BWANA Yesu apewe sifa wandugu............
Inawezekana umeokoka na Yesu anaishi ndani...ila inawezekana pia haujamjua huyu Yesu vizuri........ kudhibitisha haya soma Marko 4:35-41, utaelewa. ukisoma mstari wa 41 unasema" wakaingiwa na hofu kuu, wakaambiana, ni nani huyu hata upepo na bahari humtii?
Hapo tunaona kwamba wanafunzi wa yesu walikua nae siku zote, waliona miujiza yake, ishara na maajabu lakini siku ya dhoruba walishangaa kuona upepo na bahari vikimtii.......!!!! kwaiyo hawakumjua Yesu vizur. nimepata mafunuo katika njia za kumjua Mungu vizur.......fuatilia!
1 KUMTAFUTA KWA BIDII
Mithali 8:17 inasema" nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. hapa anasema kuwa anatupenda...inawezekana unampenda Mungu na kwanza sidhani kama kuna mtu ukimuuliza kama anampenda Mungu atakujibu kuwa Hampendi, wote watasema wanampenda ila ukiendelea anasema wanaomtafuta kwa bidii ndio watakao muona. nikagundua kuwa kuna tofauti ya KUMPENDA, KUMTAFUTA na KUMTAFUTA KWA BIDII. inawezekana unampenda na unamtafuta, sasa nataka uweke bidii ili uweze kumwona. Zaburi 105:4 inasema "mtakeni Bwana na nguvu zake, utafuteni uso wake sikuzote......sasa hapa bidii iko wapi? ni pale alipomalizia kwa kusema SIKUZOTE! Mithali 13:4 inasema "nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.
2 KUMTAFUTA KWA MOYO WAKO WOTE
Kuna nyimbo tulikua tunaimba inasema" jesus is number one, is everything to me! sijui kama huwa unamaanisha ukiimba hii nyimbo? Yeremia 29:13 inasema" nanyi mtanitafuta na kuniona, mkinitafuta kwa moyo wenu wote" hapa anamaanisha kuwa u give up everything just to have him. kumbuka Mathayo 6:33, sasa watu wanaigeuza hiyo na kuweka mambo yao mengine mbele.
Kumb 4:29 inasema"lakini huko, kama mkimtafuta BWANA Mungu wako utampata, ukimtafuta kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote. Mathayo 22:37-38 inasema" akawaambia mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili yako yote. ni ngumu wapendwa kumjua Mungu ipasavyo kama bado hatufanyi kama maandiko yasemavyo....Bwana atusaidie!!!!
3 KULIJUA NENO LAKE
mwalimu anapofundisha wanafunzi darasani huwa anawaachia notes wakasome...unajua kwanini? ili walijue lile somo vizuri kama isingekua ivyo basi ingeishia darasani tu na mtiani unakuja. sasa hivyo hivyo, mafundisho kanisani hayatoshi lazima tuwe na muda wa kumtafuta Mungu kupitia maandiko yaani NENO LAKE! Mathayo 22:29 inasema" Yesu akajibu akawaambia, mwapotea kwa kuwa hamjui maandiko wala uweza wa Mungu. inamaana kupotea kwetu inasababishwa na kutokujua neno la Mungu na kwa kulijua neno la Mungu inatusaidia kumjua zaidi na zaidi. Soma Mithali 2:1-5...mstari wa 5 unasema" ndipo utakapo fahamu kumcha Bwana na kupata kumjua Mungu.
4 KUISHI MAISHA MATAKATIFU
Mungu anaheshimu sana watakatifu...sijui kama unajua hilo! soma Zaburi 25:14 inasema" siri ya Bwana iko kwa wale wamchao, na yeye atawajulisha agano lake" sasa unataka nini tena? neno li wazi Mungu ukiwa karibu na Mungu kwa maana ya utakatifu, utamjua Mungu vizuri. ipo mifano ya kina henoko, eliya n.k.
5 KUWA NA ROHO MTAKATIFU
inawezekana ukawa unaishi kumbe roho alishaondokaga zamani, pengine ulijichafua akakuacha maana we ni hekalu lake! Wakorintho 2:10-11 inasema" lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho, maana Roho huchunguza yote hata mafumbo ya Mungu. maana ni nani katika binadamu ajuaye mambo ya binadamu ila roho iliyo ndani yake? vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna afahamuye ila Roho wa Mungu.
Mithali 8:17 inasema" nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. hapa anasema kuwa anatupenda...inawezekana unampenda Mungu na kwanza sidhani kama kuna mtu ukimuuliza kama anampenda Mungu atakujibu kuwa Hampendi, wote watasema wanampenda ila ukiendelea anasema wanaomtafuta kwa bidii ndio watakao muona. nikagundua kuwa kuna tofauti ya KUMPENDA, KUMTAFUTA na KUMTAFUTA KWA BIDII. inawezekana unampenda na unamtafuta, sasa nataka uweke bidii ili uweze kumwona. Zaburi 105:4 inasema "mtakeni Bwana na nguvu zake, utafuteni uso wake sikuzote......sasa hapa bidii iko wapi? ni pale alipomalizia kwa kusema SIKUZOTE! Mithali 13:4 inasema "nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.
2 KUMTAFUTA KWA MOYO WAKO WOTE
Kuna nyimbo tulikua tunaimba inasema" jesus is number one, is everything to me! sijui kama huwa unamaanisha ukiimba hii nyimbo? Yeremia 29:13 inasema" nanyi mtanitafuta na kuniona, mkinitafuta kwa moyo wenu wote" hapa anamaanisha kuwa u give up everything just to have him. kumbuka Mathayo 6:33, sasa watu wanaigeuza hiyo na kuweka mambo yao mengine mbele.
Kumb 4:29 inasema"lakini huko, kama mkimtafuta BWANA Mungu wako utampata, ukimtafuta kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote. Mathayo 22:37-38 inasema" akawaambia mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili yako yote. ni ngumu wapendwa kumjua Mungu ipasavyo kama bado hatufanyi kama maandiko yasemavyo....Bwana atusaidie!!!!
3 KULIJUA NENO LAKE
mwalimu anapofundisha wanafunzi darasani huwa anawaachia notes wakasome...unajua kwanini? ili walijue lile somo vizuri kama isingekua ivyo basi ingeishia darasani tu na mtiani unakuja. sasa hivyo hivyo, mafundisho kanisani hayatoshi lazima tuwe na muda wa kumtafuta Mungu kupitia maandiko yaani NENO LAKE! Mathayo 22:29 inasema" Yesu akajibu akawaambia, mwapotea kwa kuwa hamjui maandiko wala uweza wa Mungu. inamaana kupotea kwetu inasababishwa na kutokujua neno la Mungu na kwa kulijua neno la Mungu inatusaidia kumjua zaidi na zaidi. Soma Mithali 2:1-5...mstari wa 5 unasema" ndipo utakapo fahamu kumcha Bwana na kupata kumjua Mungu.
4 KUISHI MAISHA MATAKATIFU
Mungu anaheshimu sana watakatifu...sijui kama unajua hilo! soma Zaburi 25:14 inasema" siri ya Bwana iko kwa wale wamchao, na yeye atawajulisha agano lake" sasa unataka nini tena? neno li wazi Mungu ukiwa karibu na Mungu kwa maana ya utakatifu, utamjua Mungu vizuri. ipo mifano ya kina henoko, eliya n.k.
5 KUWA NA ROHO MTAKATIFU
inawezekana ukawa unaishi kumbe roho alishaondokaga zamani, pengine ulijichafua akakuacha maana we ni hekalu lake! Wakorintho 2:10-11 inasema" lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho, maana Roho huchunguza yote hata mafumbo ya Mungu. maana ni nani katika binadamu ajuaye mambo ya binadamu ila roho iliyo ndani yake? vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna afahamuye ila Roho wa Mungu.
Wapenzi Mungu awabariki sana kwa kusoma. usidhani utapoteza mda kwa kusoma, na kwa yeyote atakayesoma somo hili nakuombea sasa;
Mungu anaenda kubadilisha maisha yako na hautakuwa kama ulivyokuwa hapo awali........mwenye matatizo yanaondoka katiika jina la Yesu Kristo, mgonjwa unapokea uponyaji wako sasa, umekosa amani Mungu anakupa amani sasa na hakika utaenda kuuona ukuu wa Mungu katika maisha yako...AMEN
STAY INSPIRED!!!
Mungu anaenda kubadilisha maisha yako na hautakuwa kama ulivyokuwa hapo awali........mwenye matatizo yanaondoka katiika jina la Yesu Kristo, mgonjwa unapokea uponyaji wako sasa, umekosa amani Mungu anakupa amani sasa na hakika utaenda kuuona ukuu wa Mungu katika maisha yako...AMEN
STAY INSPIRED!!!